Mwakyembe aunga mkono nauli mpya
Dk Mwakyembe
Posted Alhamisi,Aprili11 2013 saa 21:55 PM
KWA UFUPI
“Mimi kama Waziri wa Uchukuzi sina tatizo na ongezeko hili dogo la nauli za daladala. Tatizo langu ni tabia yetu ya Watanzania wengi kukacha vikao halali vinavyojadili mambo yanayotuhusu na kuja kulalamika baadaye,” alisema Dk Mwakyembe.
No comments:
Post a Comment