Translate

Friday, 12 April 2013


Mwakyembe aunga mkono nauli mpya

SHARE BOOKMARKPRINTEMAILRATING
Dk Mwakyembe 

Posted  Alhamisi,Aprili11  2013  saa 21:55 PM
KWA UFUPI
“Mimi kama Waziri wa Uchukuzi sina tatizo na ongezeko hili dogo la nauli za daladala. Tatizo langu ni tabia yetu ya Watanzania wengi kukacha vikao halali vinavyojadili mambo yanayotuhusu na kuja kulalamika baadaye,” alisema Dk Mwakyembe.

No comments:

Post a Comment