Mawaziri ‘watoroka’ Bunge
hivi sisi wananchi tumewateua wabunge kwa kazi gani kukaa nyumbani na kula posho na nguvuza watanzania bure au kutuwakilisha shida na tabu tunazozipata wananchi
KWA UFUPI
“Wizara hii ni mtambuka lakini kuna mawaziri 10 pekee humu ndani, wakiwamo mawaziri watano na manaibu watano, hivyo Mheshimiwa Naibu Spika naomba mwongozo wako kama ni sawa kuendelea na mjadala huu katika hali hii,” alisema Lugola.
No comments:
Post a Comment